Asanteee
Hapa Bukoba watu wanalia kalynda imekuwa Kama crowd 1
Ok NAKUBALI 💯
Kinachoendelea tumepigwa tena vibaya tumeangukia pua
Jamani tunaomba mturejeshee pesa zetu tuoneeni huruma na muogopeni Mungu
Najiuli kuhusu kalynda sipati jibu yaani Wanavibari vyote vya Serikali leseni ,Brela, nk... Serikali kweli inaleta company la kitapeli kweli SERIKALI MTU HURUMIE
🤗🤗🤗
Watu wamepigwa hao ni matapeli watu waliambiwa mwnzo hao jamaa ni wezi hakuna hio biashara ya namna hio hawakuamni
Tumepigwa
Mmmmh
Tushapigwa Bro hakuna pingamizi tena
Yani tusha pigwa kisawasawa tukome watamzania tusitafute hela kirahisi hivyo
kaka je nikweli jamaaa wapo kweli niambie tutegee nn
@abdillahshaib717