@ericpesha9358

Poleni sana,. Mmeshapigwa

@toryazimio3429

Washatumaliza Hawa wasenge

@annarashelmesfille5341

Yaani hata namba zao hawajibu sasa ndo marekebisho gani hayo, mbona wagekua wanajulisha watu kinachoendelea

@fatmahassan2124

Me naamini washatapeli

@mussaally1187

Tushapigwa baba apo hakuna jipya maana kuna namba tulikuwa tunachart nao saiv ukipiga hiyo namba anapokea demu na anajifanya haelewi chochote.

@zainaphilipo4364

Kwendeni ukoo

@adamhashim3352

We  nae unazingua ndo maana ulimpa mic  mbwa et anaongea