Imagine ukiumia juu ya makosa ya mtu hataki kurekebisha kama zakayo???? So fanny
Mwanaume kapata kichwa ya 3 he is not a police man 4 those who knows his hands is supposed to be on trigger at any time ifu know u know
Nyoroshwa kabisa ndio mjue utamu wa kuua watu,uliza askari anasikia aje?
Pole officer. Kenya itakuwa sawa.
😢😢😢
Pole unaskiziaje hiyo puein kwa bruein😢anongezwe ingine ndo inuetralize uchungu jamaneni
Uyu SI afiatue risasi
Gsu tena ,
Ako so emotional 😂
Uliwezwa shenzi
😂unaskiaje 😊ama tukusalimie na hiyo mti ya jembe umebeba 😅
Iyo nsalaam ya xz cio mawe
Ota zakayo cannot provide the right safety gear for his men, ota helmet he cannot buy for them, kazi yake tu ni kuiba na kupora nchi yetu, uyu jamaa mungu tu atuondolee .
So sorry
Wasee wana take photo surely😂kwami munataka kumueka meme sorry afande
Huyu ni Askari kweli??? Huyu ni goon amevalishwa uniform
Baba ya mtu huyo
aki nimemuhurumia pole
Huyo sura yake tu anaonekana mkale
@raschykenwagbo2821